Skip to content
Home » Israel Mbonyi » Israel Mbonyi – Sikiliza Lyrics

Israel Mbonyi – Sikiliza Lyrics

    Lyrics : Sikiliza By Israel Mbonyi

    Kwa Sasa ya dunia
    Kwangu Ni kama yameangikwa
    Yaliyokuwa faida
    Nayahesabu kama hasara

    Sikiliza dunia Ujue kwamba mimi si wako.

    Chorus:
    Nimehesabiwa haki
    Kwa damu yake mutetezi
    Jina langu Limeandikwa,
    Kwenye kitabu cha uzima

    Sikiliza dunia ,
    Ujuwe kwamba mimi si wako

    Verse:
    Sasa maumivu Hayanitishi
           Nitayasahau kwa Yesu
    Haijadhihilika nitakavyokuwa
           Tutafanana akidhihilika
    Éwé mbingu Yakili Haya maneno
           Ayiweeeee, Kweli dunia Mi si wako

    Kwa Sasa ya dunia
    Kwangu Ni kama yameangikwa
    Yaliyokuwa faida
    Nayahesabu kama hasara

    Sikiliza dunia Ujue kwamba mimi si wako.

    Chorus:
    Nimehesabiwa haki
    Kwa damu yake mutetezi
    Jina langu Limeandikwa,
    Kwenye kitabu cha uzima

    Sikiliza dunia ,
    Ujuwe kwamba mimi si wako

    Verse:
    Sasa maumivu Hayanitishi
           Nitayasahau kwa Yesu
    Haijadhihilika nitakavyokuwa
           Tutafanana akidhihilika
    Éwé mbingu Yakili Haya maneno
           Ayiweeeee, Kweli dunia Mi si wako

    Leave a Reply

    Your email address will not be published. Required fields are marked *