Lyrics : Sikiliza By Israel Mbonyi
Kwa Sasa ya dunia
Kwangu Ni kama yameangikwa
Yaliyokuwa faida
Nayahesabu kama hasara
Sikiliza dunia Ujue kwamba mimi si wako.
Chorus:
Nimehesabiwa haki
Kwa damu yake mutetezi
Jina langu Limeandikwa,
Kwenye kitabu cha uzima
Sikiliza dunia ,
Ujuwe kwamba mimi si wako
Verse:
Sasa maumivu Hayanitishi
Nitayasahau kwa Yesu
Haijadhihilika nitakavyokuwa
Tutafanana akidhihilika
Éwé mbingu Yakili Haya maneno
Ayiweeeee, Kweli dunia Mi si wako
Kwa Sasa ya dunia
Kwangu Ni kama yameangikwa
Yaliyokuwa faida
Nayahesabu kama hasara
Sikiliza dunia Ujue kwamba mimi si wako.
Chorus:
Nimehesabiwa haki
Kwa damu yake mutetezi
Jina langu Limeandikwa,
Kwenye kitabu cha uzima
Sikiliza dunia ,
Ujuwe kwamba mimi si wako
Verse:
Sasa maumivu Hayanitishi
Nitayasahau kwa Yesu
Haijadhihilika nitakavyokuwa
Tutafanana akidhihilika
Éwé mbingu Yakili Haya maneno
Ayiweeeee, Kweli dunia Mi si wako